iqna

IQNA

vyombo vya habari
TEHRAN (IQNA)- Vyombo vya habari vya ulimwengu wa Kiislamu vinapaswa kuimarisha jitiahda zaidi kustawisha umoja wa Kiislamu, amesema msomi wa Iraq.
Habari ID: 3474461    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa vita vya vyombo vya habari vya maadui vimevizidi nguvu na kasi vita vya kiuchumi na kwamba hata maadui wa mapinduzi wananufaika na vita hivyo vya vyombo vya habari katika vita vyao vya kiuchumi dhidi ya mataifa mengine.
Habari ID: 3474416    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12

Kwa mwaka wa pili mfululizo
Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Vyombo vya Habari Iran yamefungwa huku kibanda cha IQNA kikitangazwa kuwa kibanda bora zaidi katika masuala ya kidini.
Habari ID: 3470669    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/11